NEWSMEDIATZ: MASHINDANO YA UTANGAZJI KATIKA CHUO CHA UANDISHI WA HABARI NA UTANGAZAJI ARUSHA FAHAMU ZAIDI HAPA....
Madarasa hayo amayo nipamoja na Darasa la Tarangire,Selou,Serengeti,Ruwenzori,Kilimanjaro,Natron,Katavi,Vission,Mount Evarest,Amazon,Ruaha,Mzumbe
Mashindano hayo yamkua yakifanyika kila mwaka kwa lengo la kukuza vipaji vya wanafunzi hao amabao wamekua wanaleta mabadiliko makubwa kwenye tasnia ya uandishi wa habari nchini tanzania
mshindi wa mashindano hayo atajishindia kitita cha shilingi laki moja na nusu mshindi wa pili laki moja na msindi wa tatu shilingi elfu themanini.
Post a Comment