Header Ads


WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARY AKIDO WATEMBELE CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA


wanafunzi wa akido sekondari
Wanafunzi wa shule ya sekondari akido wametembelea chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha kwa lengo la kujifunza mambo mbali mbali ikiwemo kujifunza jinsi chuo hicho kinavyo fanya mafunzo ya utangazaji kwa vitendo.

Ambapo walipata kujifunza jinsi chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha kinavyo rusha  matanzazo yake ya redio na televisheni na jinsi wanavyo andaa vipindi mbalimbali vya redio na televishion.
mkufunzi bw. kephas akiwaelekeza wanafunzi wa akido
Pia wanafunzi hao walitembelea vitengo mbalimbali chuoni hapo ikwemo kitengo cha utangazaji wa radio,kitengo cha utangazaji cha televisheni na kujifunza mambo mbali mbali.
Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha ndio chuo namba mbili kwa ubora nchini Tanzania

No comments

Powered by Blogger.