WANAFUNZI WA SHULE YA SEKONDARY AKIDO WATEMBELE CHUO CHA UANDISHI WA HABARI ARUSHA
wanafunzi wa akido sekondari |
Ambapo walipata kujifunza jinsi chuo cha uandishi wa habari na utangazaji arusha kinavyo rusha matanzazo yake ya redio na televisheni na jinsi wanavyo andaa vipindi mbalimbali vya redio na televishion.
mkufunzi bw. kephas akiwaelekeza wanafunzi wa akido |
Chuo cha uandishi wa habari na utangazaji Arusha ndio chuo namba mbili kwa ubora nchini Tanzania
Post a Comment