Header Ads


WATU 30 WAFA KWENYE AJALI YA BASI CHINA


Takriban watu 30 wameaga dunia nchini China, baada ya basi moja kupata ajali na kisha kushika moto.
Ajali hiyo ilitokea katika mkoa wa Hunan wakati basi hilo lilikuwa likiwasafirisha zaidi ya watu 50 liliponga vizuizi katika barabara kuu.
Mafuta yaliyokuwa yakivuja yananaminiwa kusababisha moto huo. Polisi wamemkamataka dereva wa basi hilo.

No comments

Powered by Blogger.