MAGUFULI; MAOFISA WALA RUSHWA HADHARANI...
![]() |
RAISI WA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA |
Mkuu huyo wa nchi ameyasema hayo wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa mkutano wa mwaka wa bodi ya makandarasi (CRB)
Kwa upande wake Waziri wa ujenzi uchukuzi mawasiliano Profesa
Makame Mbarawa amesema ni jukumu ya wakandasari wa ndani kuhakisha
wanalijenga Taifa lao.
Mwenyekiti wa bodi ya makandarasi (CRB), Consolata Ngimbwa,
alimwomba Rais Magufuli kuweka mikakati ya kuwapa upendeleo makandarasi
wazalendo.
Post a Comment