RUSHWA YAMPONZA DAKTARI MTWARA
![]() |
kassimu majaliwa waziri mkuu wa Tanzania |
Alipowasili katika hospitali ya rufaa ya mkoa wa Ligula Mh Majaliwa
akakumbana na kundi kubwa la wananchi na wakawa na haya ya kumueleza.
Mh Majaliwa mara baada ya kutembelea hospitali hiyo na kupata
malalamiko kutoka kwa wananchi akalazimika kuitisha kikao cha dharura
cha madaktari pamoja na watendaji wa hosptali hiyo baada ya kuonyesha
kukerwa na malalamiko ya wananchi dhidi ya madaktari.
Hata hivyo baada ya daktari aliyeomba rushwa kubainishwa na muhusika Mh waziri mkuu akawa na ujumbe huu.
Akizungumza kwa niaba ya wenzake Dokta Hindi Mastai akalazimika
kumweleza waziri mkuu pamoja na lawama nyingi kwenda kwa madaktari
mazingira wanayofanyia kazi ni haya.
Post a Comment