RICH MAVOKO RASMI WCB WASAFI
June 2,
2016 label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia
kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi msanii
wao mpya Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa
kazi zake katika label hiyo.
2016 label ya Wasafi inayomilikiwa na staa Diamond Platnumz inaingia
kwenye headlines za Bongo Fleva baada ya kumtambulisha rasmi msanii
wao mpya Rich Mavoko ambaye anakuwa ni msanii wa nne atakayesimamiwa
kazi zake katika label hiyo.
Kwa mujibu wa Diamond Platnumz amesema…’Kwasasa
Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii wanne ukiachana na Rich Mavoko
kuna Dada yangu Queen Darling ambaye sijawahi kumtambulisha lakini
anakuwa ni msichana wa kwanza katika label yangu kwahiyo tutakuwa
na Raymond, Harmonize, Rich Mavoko na Queen Darling’
Label yangu inakuwa na jumla ya wasanii wanne ukiachana na Rich Mavoko
kuna Dada yangu Queen Darling ambaye sijawahi kumtambulisha lakini
anakuwa ni msichana wa kwanza katika label yangu kwahiyo tutakuwa
na Raymond, Harmonize, Rich Mavoko na Queen Darling’
Unaweza kuangalia video hii hapa chini
Post a Comment